+255 621 900 333 / +255 624 000 333
Junction of Lugalo and Magore St, Upanga, Amverton Office Park, Second Floor
info@brrealestate.co.tz

330 Acres farm for sale at Mkuranga

$950,000

Details

Shamba la Ekari 330 linauzwa Mkuranga, Mkanoge

Distance Kutoka Mbagala rangi tatu mpaka njia ya kuingia shambani (Ngonja -Kimanzichana) ni 90 km Kilwa road na Kutoka main road (lami) mpaka unaingia ndani 17km

Location Maeneo ya Industrial Area

Neighborhood Shamba la Mzungu (Ekari 1,200) amepanda makadamia na mashamba mengine ya watu binafsi

Matumizi Agro Farm

Vitu vilivyomo kwenye Shamba

Miti yote ni High Breed

-Ndani ya Shamba kuna Teak Wood 12,500 x 800, 000 = 10 billion. (Inavunwa baada ya miaka 10 kutoka sasa)

-Mti wa Mkaratusi 15,000 x 150,000 = 2.25 Billion (Inavunwa 2030)

-Mti Kunuka (mbao nyekundu) 2,000 x 500,000 = 1 Billion (Inavunwa miaka 8 kutoka sasa)

-Miti ya Mchikichi (Mawese) 250

-Miti ya Mikorosho 6,000

-Minazi 1,200

-Miembe ya Kisasa 2,500

-Mindimu 1,200

-Godown Sqm 600

Nyumba 3 za wafanyakazi

Nyumba 1 ina vyumba 4 na sitting room, jiko na public toilet.

Nyumba 2 Ina vyumba viwili 2 vya kulala, sitting room, kitchen na public toilet

Nyumba 3 Stoo ya kuhifadhia mashine na Generator

-Mabwawa ya Samaki 7

-Banda la Mbuzi

-Banda la Ng’ombe (40)

-Visima viwili vyenye urefu wa meter 130

-Minara 8 ya kuweka tank za umwagiliaji.

-Plot yenye Ekari 200 ina Hati miliki

-Plot yenye Ekari 130 imeshapandwa mawe (Surveyed)

Umeme umeshafika Nyamato upo umbali wa 7km mpaka kuingia shambani.

Bei shilingi Bilioni 2.5 mazungumzo yapo

NOTE Jirani Kuna nafasi ya kuongeza Ekari 2,000

  • ID: 4757
  • Published: June 18, 2025
  • Last Update: June 18, 2025
  • Views: 26