+255 624 000 333 / +255 623 442 277
Junction of Lugalo and Magore St, Upanga, Amverton Office Park, Second Floor
info@brrealestate.co.tz

Nyumba inauzwa Goba, Dar es salaam

Tsh270,000,000

Details

Description
Price : Tsh270,000,000.00 (Negotiable)
Type : Sell
Date : March 3, 2022
Condition : New
Location :upanga,lugalo & magore st

Nyumba inauzwa kwa Bei Nafuu

  • Mahali -Goba Njia nne Barabara ya kuelekea Tegeta
  • Umbali- Mita 350 kutoka Barabara kuu ya lami.

Sifa za kiwanja:

  • Kiwanja kina Hati miliki
  • Ukubwa wa kiwanja ni mita za mraba 1400.

Sifa za Nyumba Ndani:

  • Ina sebule kubwa ya kisasa,Jiko la ndani la kisasa, Sehemu ya kulia ya kisasa ,
  • Vyumba vinne vya kulala vyote vikubwa sana,Vyumba Viwili vina vyoo ndani na Viwili kawaida,
  • Stoo ndogo ya ndani na Vyoo Viwili vya Pamoja vya ndani.
  • Vyumba vyote na sebule vina AC na Mabafu yote ya kuoga na jikoni kuna Hita za maji ya moto.

Sifa za Nyumba Nje:

  • Ina Bustani mbili ya mbele na nyuma ya Nyumba,Ina Nyumba ndogo ya Nje yenye chumba kimoja cha kulala,
  • Jiko,Stoo ndogo,choo na bafu la nje, Ina Tanki ya chini ya kuhifadhia maji lita 80 na ina sehemu ya kupumzika kama Min bar Ndogo ya makuti,
  • Pia Eneo lote Limewekwa Pavement.

Bei ni Tsh270,000,000/=

ID:Bosco

Kwa Maelezo Zaidi Tupigie +255 624 000 333 au Tembelea Tovuti yetu https://brbuyandsell.co.tz

  • ID: 32141
  • Published: March 8, 2022
  • Last Update: March 21, 2022
  • Views: 3309